Pink Coconut
They call me Roy
Thursday, November 18, 2010
Juu ya mawe
juu ya mawe
: "
Boeing la Air Tanzania likiwa juu ya mawe katika uwanja wa ndege wa airport ya Mwanza kama ionekanavyo pichani hapo.Ndege hii ilipata mushkeli miezi kadhaa iliyopita pindi ilipokuwa ikitua uwanjani hapo. Hadi leo mustakabali wake haujulikani.
"
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Comments (Atom)